Gari ya mizigo katika manispa ya Zenj ikiwa imechukua mizigo kupita uwezo wake na kusababisha mfanyakazi wa gari hiyo kukaa juu ya mizigo hiyo na kutojali madhara yake kama anavyoonekana pichani akiwa kaka juu ya mizigo hiyo huku gari hiyo ikiendelea na safari yake katika barabara ya kwa mchina.
EXIM BANK YAENDELEA KUWAINUA KIUCHUMI WANAWAKE WAJASIRIAMALI KUPITIA MPANGO
WA WEP
-
Exim Bank, kupitia Mpango wake wa Kuwawezesha Kiuchumi Wanawake (WEP),
imetoa mafunzo kuhusu masuala ya ujasiriamali, biashara, na uwezeshaji kwa
wanawak...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment