Gari ya mizigo katika manispa ya Zenj ikiwa imechukua mizigo kupita uwezo wake na kusababisha mfanyakazi wa gari hiyo kukaa juu ya mizigo hiyo na kutojali madhara yake kama anavyoonekana pichani akiwa kaka juu ya mizigo hiyo huku gari hiyo ikiendelea na safari yake katika barabara ya kwa mchina.
BENKI YA MKOMBOZI YAFANYA MKUTANO MKUU WA WANAHISA
-
Mkutano Huo ukiwa ni mkutano wa 16 wa wanahisa umefanyika jana Julai 26,
2025 katika kituo cha kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC)
jijini D...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment