Kipindi cha karibu na Sikukuu barabara ya darajani na maeneo hayo huwa na msongamano wa watu na magari kuifanya sehemu hiyo kuwa ndogo kila mtu hufika katika eneo hilo kujitafutia mahitaji kwa ajili ya maakuli ya sikukuu Kama inavuoonekana picha wananchi wakiwa katika pirikapirika hiyo leo asubuhi na kuifanya sehemu hiyo kuonekana ndogo kwa wingi wa Wananchi wa Zanzibar.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment