Habari za Punde

Mafunzo kwa wajasiriamali wilaya ya Mkoani waagizwa kuzalisha bidhaa zinazoendana na soko la utalii

 MDHAMINI wa Kamisheni ya Utalii Kisiwani Pemba, Mwalimu Suleiman Amour Suleiman, akizungumz ana wajasiriamali wa Wilaya ya Wete katika Ofisi za mkuu wa Wilaya hiyo, juu ya uhamasishaji wa wajasiriamali kuzalisha bidhaa zinazoendana na soko la Utalii.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 AFISA Ushirika Wilaya ya Mkoani Ali Mohamed Ali, akifungua mafunzo ya siku moja kwa wajasiriamali wa Wilaya hiyo, yaliyoandaliwa na kamisheni ya Utalii Pemba, kulia Mwneye kofia aliyekaa ni Mdhamini wa Kamisheni hiyo Mwalim Suleiman Amour Suleiman, juu ya uhamasishaji wajasiriamali kuzalisha bdhaa zinazoendana na soko la Utalii.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MDHAMINI wa Kamisheni ya Utalii Kisiwani Pemba, Mwalim Suleiman Amour Suleiman, akizungumza na wajasiriamali wa Wilaya ya Mkoani, juu ya uhamasishaji wajasiriamali hao kuzalisha bidhaa zinazoendana na soko la Utalii.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MJASIRIAMALI Asya Abdalla kutoka Mbunguwani Wilaya ya Mkoani, akiwashajihisha wajasiriamali wenzake kutengeneza mikoba ya kisasa inayoendana na soko la Utali, ili kuwafanya wajasiriamali hao kubadilika katika utengenezaji wa biashara zao.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MJASIRIAMALI Fatma Juma Kutoka Kenda shehia ya Kiwani, akionoesha moja ya bidhaa zao wanazozalisha katika kikundi chao, huku zikiwa zimekosa soko la kuuziwa kwa sasa.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.