Habari za Punde

Afisa Mdhamini Azungumza na Wanachama wa Jumuiya ya PESTA Pemba.

Afisa Mdhamini Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Pemba, Ndg.Hamad Ahmed Baucha akizungumza na Madereva, Makondakta na wamiliki wa magari ya abiria na mizigo Mkoa wa Kusini Pemba, Mkutano huo mkuu wa mwaka uliofanyika Madungu Maandalizi. 
Mmoja wa Madereva wa gari za mizigo Mkoa wa kusini Pemba, akichangia katika mkutano mkuu wa mwaka wa jumuiya yao ya PESTA, mkutano huo uliofanyika katika skuli ya Maandalizi Mdungu Chake Chake
Madevera Makondakta na wamiliki wa gari za abiria na mizigo Mkoa wa Kusini Pemba, wakiwa katika mkutano wa pamoja wa Jumuiya ya Madereva PESTA, wakifuatilia kwa makini hutuba ya mgeni rasmi Afisa Mdhamini Wizara ya Mawasiliano Ujenzi na Usafirishaji Pemba, Hamad Ahmed Baucha huko Madungu Maandalizi
(Picha na Abdi Suleiman. Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.