Wananchi wakiangalia ajali ya mpanda vespa na gari ndogo iliyotokea katika makutano ya barabara ya Michenzani na kwenda gogoni, katika ajali hiyo mpanda vespa amepata majaraha na kukimbizwa hospitali ya mnazi mmoja kwa matibabu. Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema mpanda vespa akitokea maisara kuelekea michezani raundi abauti.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment