Wananchi wakiangalia ajali ya mpanda vespa na gari ndogo iliyotokea katika makutano ya barabara ya Michenzani na kwenda gogoni, katika ajali hiyo mpanda vespa amepata majaraha na kukimbizwa hospitali ya mnazi mmoja kwa matibabu. Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema mpanda vespa akitokea maisara kuelekea michezani raundi abauti.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment