Habari za Punde

Mashindano ya uhamasishaji wa lugha ya kiarabu kwa walimu wa vyuo vya kiarabu vilivyo chini ya Taasisi ya Samail

 MWALIMU Haji Ali Shaali kutoka Mkanyangeni, akijibu swali aliloulizwa kwa lugha ya kiarabu, katika mashindano ya kuzungumza kiarabu yaliyoandaliwa na taasisi ya Samail Academy iliyopo Gombani Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MKURUGENZI mkuu wa Taasisi ya Samail Academy Shekh Said Abdalla Nassir, akisoma ripoti ya utendaji wa taasisi hiyo wakati wa mashindano ya uhamasishaji wa lugha ya kiarabu kwa walimu wa vyuo vya kiarabu vinavyosimamiwa na taasisi hiyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKAGUZI wa Elimu kutoka Wizara ya Elimu na Mfunzo ya Amali Pemba, Mwalimu Amour Rashid Aliy akizungumza na walimu wa vyuo vya Qur-an vilivyopo chini ya Taasisi ya Samail Academy Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.