Habari za Punde

Waziri wa elimu mgeni rasmi katika mahafali ya kuwatunuku vyeti wahitimu wa mafunzo ya awali ya Maandalizi kisiwani Pemba

 WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe:Riziki Pembe Juma, akiangalia moja ya maonyesho yanayoonyesha vitu vya baharini, vinavyotumika kuwafundishia wanafunzi wa skuli za maandalizi Kisiwani Pemba, wakati wa mahafali ya kuwatunuku vyeti wahitimu wa mafunzo ya awali ya Maandalizi.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)
 WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe:Riziki Pembe Juma, akiangalia moja ya mabuku ya wanafunzi wa skuli ya maandalaizi, wakati wa mahafali ya kuwatunuku vyeti wahitimu wa mafunzo ya awali ya Maandalizi.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)

 WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe:Riziki Pembe Juma, akiangalia moja ya miongozo ya kuwafundishia wanafunzi wa skuli za maandalizi wakati wa mahafali ya kuwatunuku vyeti wahitimu wa mafunzo ya awali ya Maandalizi.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)
 MKUFUNZI wa walimu wa skuli za maandalizi katika chuo cha Benjamini Mkapa mchanga mdogo Wete, Leiyla Ahmed akimfahamisha jinsi ya miongozo ya kuwafundishia wanafunzi, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe:Riziki Pembe Juma, wakati wa mahafali ya kuwatunuku vyeti wahitimu wa mafunzo ya awali ya Maandalizi.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)

 WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe:Riziki Pembe Juma, akiangalia moja vitu vinavyotengenezwa na walimu kwa ajili ya kuwafundishia wanafunzi wa skuli za maandalizi kisiwani Pemba, wakati wa mahafali ya kuwatunuku vyeti wahitimu wa mafunzo ya awali ya maandalizi.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)
 WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar:Mhe:Riziki Pembe Juma, akikamata moja ya majembe yaliyotengenezwa kwa makaratasi kwa ajili ya kuwafundishiwa wanafunzi wa skuli za maandalizi Kisiwani Pemba, wakati akiangalia maonyesho ya vifaa vya kufundishia wanafunzi hao, katika mahafali ya kuwatunuku vyeti wahitimu wa mafunzo ya awali ya maandalizi.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)
 WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe:Riziki Pembe Juma, akikamata moja ya ndizi iliyotengenezwa kwa makaratasi kwa ajili ya kuwafundishiwa wanafunzi wa skuli za maandalizi Kisiwani Pemba, wakati akiangalia maonyesho ya vifaa vya kufundishia wanafunzi hao, katika mahafali ya kuwatunuku vyeti wahitimu wa mafunzo ya awali ya maandalizi.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)

WANAFUNZI wa Skuli za maandalizi Kisiwani Pemba, wakiimba nyimbo ya kumkaribisha Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe:Riziki Pembe Juma, wakati akiwasili katika mahafali ya kuwatunuku vyeti wahitimu wa mafunzo ya awali ya maandalzi.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe:Riziki Pembe Juma, akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu waliotunukiwa vyeti katika mahafali ya mfunzo ya awali ya maandalizi Kisiwani Pemba.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)
 WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe:Riziki Pembe Juma, akizungumza na wahitimu wa mafunzo ya awali ya maandalizi Kisiwani Pemba.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe:Riziki Pembe Juma, akiwakabidhi bahasha wanafunzi wa skuli ya maandalizi Kisiwani Pemba, baada ya kuimba moja ya nyimbo wakati wa mahafali ya kuwatunuku vyeti wahitimu wa mafunzo ya awali ya maandalizi.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.