Habari za Punde

Mkuu wa Wilaya ya Chakechake Atembelea Eneo la Idara ya Kilimo Pemba.

Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, akitembelea eneo la Idara ya Kilimo ambalo Wananchi wanaiomba Idara kuwawekea njia ya kupita kabla ya kumaliza zoezi la uwekaji wa Uzio ili kudhibiti eneo la Idara hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, Salama Mbarouk Khatib , akionesha eneo linalolalamikiwa na Wananchi wa kijiji cha Wara karibu na Idara ya Kilimo Wawi-Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.