WAZIRI wa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana,
Wanawake na Watoto Zanzibar, Mhe:Maudline Cyrus Castico, akiangalia mabilingani
yaliyolimwa na wanakikundi cha Vijana wa Utandawazi Chokocho, wakati alipofanya
ziara ya kutembelea kikundi hicho kwenye ziara yake ya Siku mbili Kisiwani
Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
CHINA KINARA UWEKEZAJI TANZANIA -DKT.TAUS KIDA
-
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Dkt.Taus Kida
akizungumza katika mkutano wa masuala ya uwekezaji kati ya Tanzania na
China uliofanyika ...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment