WAZIRI wa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana,
Wanawake na Watoto Zanzibar, Mhe:Maudline Cyrus Castico, akiangalia mabilingani
yaliyolimwa na wanakikundi cha Vijana wa Utandawazi Chokocho, wakati alipofanya
ziara ya kutembelea kikundi hicho kwenye ziara yake ya Siku mbili Kisiwani
Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
SHIMIWI YAPATA UDHAMINI WA VIFAA VYA MICHEZO
-
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKISHO la Michezo ya Wizara, Idara, Wakala za Serikali na Ofisi za
Wakuu wa Mikoa (SHIMIWI) wamepata udhamini wa vifaa mbalimbali...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment