WAZIRI wa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana,
Wanawake na Watoto Zanzibar, Mhe:Maudline Cyrus Castico, akiangalia mabilingani
yaliyolimwa na wanakikundi cha Vijana wa Utandawazi Chokocho, wakati alipofanya
ziara ya kutembelea kikundi hicho kwenye ziara yake ya Siku mbili Kisiwani
Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
TUME ZA UCHAGUZI ZANZIBAR NA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ZAKUTANA
KUJADILI MASHIRIKIANO YA UENDESHAJI WA UCHAGUZI MKUU 2025
-
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe. Jaji Aziza Suwed
akifungua kikao na kuzipongeza Menejimenti za Tume zote mbili kukutana na
kujadili ma...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment