WAZIRI wa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana,
Wanawake na Watoto Zanzibar, Mhe:Maudline Cyrus Castico, akiangalia mabilingani
yaliyolimwa na wanakikundi cha Vijana wa Utandawazi Chokocho, wakati alipofanya
ziara ya kutembelea kikundi hicho kwenye ziara yake ya Siku mbili Kisiwani
Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Madaktari Bingwa Kutoka Jamhuri ya Watu wa China Watowa Huduma ya Uchunguzi
wa Afya kwa Watoto wa Kituo cha Watoto Yatima Mazizini
-
Daktari Bingwa kutoka Jamhuri ya Watu wa China akimfanyika uchunguzi wa
meno mmoja wa Watoto wanaoishi katika Nyumba ya Kulelea Watoto Yatima
Mazizini Za...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment