Habari za Punde

Mkutano na wadau juu ya kufanyiwa marekebisho kwa sheria mbali mbali wafanyika kisiwani Pemba


MWANASHERIA kutoka Tume ya Marekebisho ya sheria Zanzibar, Khamis Mwita Haji, akiwasilisha sheria ya manunuzi ya vitu vya kawaida, katika mkutano na wadau mbali mbali juu ya kufanyiwa marekebisho kwa sheria mbali mbali hapa Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
MWENYEKITI wa timu ya Kurekebisha sheria Zanzibar, Jaji Mshibe Ali Bakari, akitoa ufafanuzi wa sheria mbali mbali katika mkutano na wadau mbali mbali juu ya kufanyiwa marekebisho kwa sheria mbali mbali hapa Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.