Waziri wa nchi Afisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI) Mhe Haji Omar Kheri (mwenye kanzu) alifanya ziara ya kushtukiza katika soko la wauza mitumba Saateni ili kuwasikiliza wafanya biashara na na kutataua baadhi ya kero zilizojitokeza. Waziri aliambatana na Mwakilishi wa Jimbo la Jang'ombe, Abdallah Maulid Diwani (CCM) aliyevaa koti na Mkurgenzi wa Baraza ka Manispaa, Aboud Hassan Serege kushoto
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza
na Wananchi wa Muleba mkoani Kagera
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment