Habari za Punde

Waziri Haji Omar Kheri afanya ziara ya kushtukiza soko la Saateni

Waziri wa nchi Afisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI) Mhe Haji Omar Kheri (mwenye kanzu) alifanya ziara ya kushtukiza katika soko la wauza mitumba Saateni ili kuwasikiliza wafanya biashara na na kutataua baadhi ya kero zilizojitokeza. Waziri aliambatana na Mwakilishi wa Jimbo la Jang'ombe, Abdallah Maulid Diwani (CCM)  aliyevaa koti na Mkurgenzi wa Baraza ka Manispaa, Aboud Hassan Serege kushoto

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.