Waziri wa nchi Afisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI) Mhe Haji Omar Kheri (mwenye kanzu) alifanya ziara ya kushtukiza katika soko la wauza mitumba Saateni ili kuwasikiliza wafanya biashara na na kutataua baadhi ya kero zilizojitokeza. Waziri aliambatana na Mwakilishi wa Jimbo la Jang'ombe, Abdallah Maulid Diwani (CCM) aliyevaa koti na Mkurgenzi wa Baraza ka Manispaa, Aboud Hassan Serege kushoto
ROMBO MPYA YA KUWEKEZA KWENYE ELIMU - DC MWANGALA
-
Na Mwandishi wetu, Rombo
MKUU wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Raymond Mwangala amewataka
wakazi wa eneo hilo kuwekeza kwenye elimu kwani mataifa meng...
28 minutes ago
No comments:
Post a Comment