Watoto katika mji wa Wete wakijishughulisha na uuzaji wa mboga mboga, katika maeneo ya Stendi kongwe ya mjini Wete (maguzo manne) wakati ukiwa ni muda wa kwenda Skuli na Madrasa , kama walivyokutwa na mpiga picha wetu Pemba.
Picha na Bakar Mussa-Pemba.
No comments:
Post a Comment