Mbunge wa Jimbo la Mpendae Mhe Salim Turky na Mwakilishi wa Jimbo la Chwaka Mhe Issa Haji Gavu wakifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar ikizikutanisha timu za Majimbo yao mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1
MAELFU DAR WAPAGAWA NA TAMASHA LA NYAMA CHOMA SOKO LA KUMBILAMOTO
-
Na Said Mwishehe
MAELFU ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika
tamasha la nyama choma ambalo limefanyika katika soko la Kumbilamo...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment