Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama
Barabarani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mhandisi Hamad Masauni (katikati), Katibu wa baraza hilo ambae pia ni Kamanda wa
Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga (kushoto) na Mkurugenzi
Mkuu wa Kampuni ya maatairi ya Superdoll, Seif Seif (kulia) wakikata utepe jana
kuashiria uzinduzi wa kituo cha kisasa kinachotoa huduma za magari upande wa
matairi kilichopo maeneo ya Magomeni Usalama, Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama
Barabarani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mhandisi Hamad Masauni(wapili kulia), Katibu wa baraza hilo ambae pia ni
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga(kulia) na Mkurugenzi
Mkuu wa Kampuni ya matairi ya Superdoll, Seif Seif(wapili kushoto),
wakimsikiliza Msimamizi wa Kituo baada ya uzinduzi wa kituo kinachotoa huduma
za magari upande wa matairi, Paul Kusoga wakati akitoa maelezo ya jinsi ya
kulichunguza tairi kutumia mfumo wa komputa.Uzinduzi huo ulifanyika jana Magomeni Usalama, Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama
Barabarani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mhandisi Hamad Masauni, akipuliza kifaa maalumu kilichopo ndani ya gari ambacho ikiwa dereva ametumia kilevi gari
hiyo haiwezi kuwaka, baada ya uzinduzi
wa kituo cha kisasa kinachotoa huduma za magari upande wa matairi. Uzinduzi huo
ulifanyika jana Magomeni Usalama, Dar es
Salaam
Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani
ambaye pia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad
Masauni, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo cha kisasa kinachotoa huduma
za magari upande wa matairi.Kituo hicho kinamilikiwa na Kampuni ya matairi ya
Superdoll. Uzinduzi huo ulifanyika jana Magomeni Usalama, Dar es Salaam
Katibu wa
Baraza la Taifa la Usalama Barabarani ambaye pia ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani
nchini, Mohamed Mpinga, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo cha kisasa
kinachotoa huduma za magari upande wa matairi.Kituo hicho kinamilikiwa na
Kampuni ya matairi ya Superdoll. Uzinduzi huo ulifanyika jana Magomeni Usalama, Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya matairi ya
Superdoll, Seif Seif, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo cha kisasa
kinachotoa huduma za magari upande wa matairi. Uzinduzi huo ulifanyika jana Magomeni
Usalama, Dar es Salaam
Wageni waalikwa wakibadilishana mawazo wakati wa
hafla ya uzinduzi wa kituo cha kisasa kinachotoa huduma za
magari upande wa matairi. Uzinduzi huo ulifanyika jana Magomeni Usalama, Dar es Salaam.(Picha
na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
No comments:
Post a Comment