Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Joseph Kabila katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mara
baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini na kurejea DRC.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na mgeni wake Rais wa
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila katika Uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kabla ya kuondoka. Kushoto ni Makamu wa Rais
Samia Suluhu Hassan
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo
na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila wakati
akimsindikiza katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kabla
ya kuondoka. Kushoto ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na mgeni wake wake Rais wa
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila wakati nyimbo za Taifa za mataifa
yote mawili zikipigwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
Nyerere.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu
Hassan pamoja na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph
Kabila wakiangalia vikundi vya ngoma za asili vilivyokuwa vikitoa burudani
uwanjani hapo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu
Hassan pamoja na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph
Kabila wakiangalia vikundi vya ngoma za asili vilivyokuwa vikitoa burudani
uwanjani hapo.
Rais
wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila akipunga mkono wakati
akipanda ndege kurejea nchini kwake mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku
tatu hapa nchini
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja
na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan
wakipunga mkono kuagana na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph
Kabila (hayupo pichani) katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
(JNIA) .
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu wa
Rais Samia Suluhu akikagua mashine ya ukaguzi wa mizigo katika uwanja wa ndege
wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA) Terminal One kuangalia ufanisi wa mashine
hizo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu wa
Rais Samia Suluhu akiangalia ufanisi wa mashine za kukagulia mizigo katika
uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA) Terminal One na kukuta
zinafanya kazi vizuri. Aliyekaa ni Mwendeshaji wa Mashine hizo kutoka Mamlaka
ya Viwanja vya Ndege TAA-Grace Jonathan.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment