Kuna mtoto wa miaka 7, anaitwa Ummu Salama Salim anaishi Mchangani
Zanzibar.
Mtoto huyu kazaliwa hana
sehemu ya kutolea haja kubwa. Hospitali ya Mnazi Mmoja pamoja na Muhimbili
wameshindwa kumtibu lakini upo uwezo wa
kufanyiwa matibatu In chini ndia.
Mama wa mtoto huyu tayari
amelifikisha suala hili Misikitini na michango inaendelea lakini kusema la
ukweli japo kuwa watu wanajitahidi lakini bado michango hairidhishi
Kwahivyo tunawaomba watu
wote walio ndani na nje ya Zanzibar watakaoguswa nahli ya mtoto huyu basi
tumsaidie.
Wewe binafsi jifikirie Tumbo likikuuma
tu hali yako inavyokua, Jee huyu mtoto mdogo inakuwaje? Mfikirie pia na mama wa
mtoto huyu ulezi aliokuwa nao.
Nimefanikiwa kuwaona mama wa
mtoto huyu, Ummu Salama na kunieleza hali halisi
Gharama za matibatu ni Milioni 15 za kitanzania
ni sawa na £6000 za Uingereza au dola 7500 za kimarekani.
Kwa wale walioko UK unaweza
kutuma mchango wako kupitia
Saba Traders Sort 090128 Account 78395061 (Santander)
Au wasiliana na Balozi mob
07846255735
Tafadhali unapochangia kwa
kutumia akaunti weka ref Abuu Zam.
Vilevile nijuulishe kwa
whatsapp +447947468729.
Kwa wale waliopo USA, Europe
au Gulf unaweza kutuma kwa kupitia Western Union Anapokea Abuu Zam Tafadhali
nijuulishe kwa whatsapp +447947468729.
Kwa waliopo Tanzania nipigie
simu kwa whatsapp au simu Zantel +255777917870.
Au unaweza kuwasiliana na
mama wa mtoto na kumtumia moja kwa moja wasiliana nae kwa +255777257269.
Shime ndugu zangu tujitahidi
kumsaidia mtoto huyu kwani Mtume Swalla Allaahu ‘alayhi Wasallam anasema Mwenye
kumpunguzia Muislamu mwenzake mtihani katika mitihani ya kidunia, Allaah
atampunguzia mitihani yake katika mitihani ya kidunia na akhera.
Siku ya mwisho kupokea
michango ni Ijumaa tarehe 23/12/2016 Bi ithni Llaah
No comments:
Post a Comment