Licha ya Upepo
kuwa mkali katika kipindi cha Wiki hii, lakini bado wavuvi wanaendelea na
shughuli zao za kimaisha, pichani wavuvi wakitengeneza nyavu yao ili kwenda
bahari kujitafutia riziki.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN,PEMBA)
Dkt. Samia: Tumeweka fedha nyingi katika Umwagiliaji kukabili Mabadiliko ya
Tabianchi
-
-Aitaka NIRC iendelee kufanya kazi kuwafikia wakulima
-Asema utachochea uzalishaji na kukabiliana na ukame
📍NIRC:Dodoma
Rais Dkt .Samia Suluhu Hass...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment