Licha ya Upepo
kuwa mkali katika kipindi cha Wiki hii, lakini bado wavuvi wanaendelea na
shughuli zao za kimaisha, pichani wavuvi wakitengeneza nyavu yao ili kwenda
bahari kujitafutia riziki.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN,PEMBA)
Puma Energy Tanzania Yadhamini Mkutano wa Wadau wa Ukuaji wa Sekta ya Anga
Afrika 2025 uliofanyika Zanzibar
-
Puma Energy Tanzania imedhihirisha kujizatiti kwake katika kukuza sekta ya
usafiri wa anga nchini kwa kudhamini Mkutano wa Wadau wa Ukuaji wa Sekta ya
A...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment