Habari za Punde

Nyumba za maendeleo Pemba zinavyozidi kuathirika

 SHIRIKA la nyumba Zanzibar Tawi la Ofisi ya Pemba, lipo katika mikakati ya kuhakikisha nyumba za Maendeleo zinakuwa safi kama zilivyoachwa na Marehemu Mzee Abeid Amani Karume, pichani Vijana wakiondoa uchafu uliotuwama katika nyumba za Maendeleo Madungu Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA).
 SHIRIKA la nyumba Zanzibar Tawi la Ofisi ya Pemba, lipo katika mikakati ya kuhakikisha nyumba za Maendeleo zinakuwa safi kama zilivyoachwa na Marehemu Mzee Abeid Amani Karume, pichani Vijana wakiondoa uchafu uliotuwama katika nyumba za Maendeleo Madungu Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA).

IPO haja kwa Serikali kuzifikiria kwa kina na kuzirudisha katika hadi yake nyumba za Maendeleo Kengeja, Pichani baadhi ya nyumba zikiwa zimeharibika Vibaya na nyengine kuota miti juu katika nyumba hizo, ili ziweze kuendena na lengo la Marehemu Mzee Karume.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.