Habari za Punde

Ligi Kuu Zanzibar kanda ya Pemba, Mwenge yailaza Kizimbani 1-0


 MSHAMBULIAJI wa Timu ya Mwenge Haji Rashid Hamad akitafuta mbinu za kumpita mlinzi wa Timu ya Kizimbani Hussein Rashid, wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar, mchezo uliopigwa uwanja wa FFU Finya Mwenge kushinda goli 1-0.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA).
MCHEZAJI wa Timu ya Kizimbani Ali Suleiman Kombo, akidhibitiwa na Mchezaji wa Timu ya Mwenge Issa Kassim, wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar, mchezo uliopigwa uwanja wa FFU Finya Mwenge kushinda goli 1-0.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.