MBUNGE wa
viti maalum Mkoa wa kusini Pemba na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa CCM
Faida Mohammed Bakar, akizungumza na wazee wa CCM katika ofisi ya CCM Mkoa wa
kusini Pemba, katika ziara yake ya kuwatembelea wazee wa Chama.(PICHA NA BAKARI MUSSA,PEMBA)
MBUNGE wa
viti maalum Mkoa wa kusini Pemba na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa CCM
Faida Mohammed Bakar,akimkabidhi fedha Taslimu Mwenyekiti wa baraza la wazee wa
CCM Mkoa wa Kusini Pemba, Ali Hamad Bakari ikiwa ni zawadi zao binafsi.(PICHA NA BAKARI MUSSA,PEMBA)
MBUNGE wa
viti maalum Mkoa wa kusini Pemba na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa CCM
Faida Mohammed Bakar, akiwa katika picha ya pamoja na wazee wa CCM mkoa wa
kusini Pemba .(PICHA NA BAKARI MUSSA,PEMBA)
No comments:
Post a Comment