Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akihutubia Mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini katika
Sherehe za Mwaka mpya kwa Mabalozi(New Diplomatic Sherry Party) Ikulu jijini
Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akihutubia Mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini katika
Sherehe za Mwaka mpya kwa Mabalozi(New Diplomatic Sherry Party) Ikulu jijini
Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki Balozi Augustine Mahiga katika picha ya pamoja na Mabalozi mbalimbali
wanaowakilisha nchi zao hapa nchini mara baada ya kuwahutubia katika Sherehe za
Mwaka mpya kwa Mabalozi(New Diplomatic Sherry Party) Ikulu jijini Dar es
Salaam. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment