Mgeni Rasmini katika Semina ya kujadili Mafanikio na Changamoto za Miaka 40 ya Kuzaliwa kwa CCM Said Abdalla Limbile akitoa hotuba ya Ufunguzi kwa wana ccm waliohudhuria katika Semina hio iliofanyika Katika Tawi la CCM Kisauni Zanzibar.
Mwanachama wa CCM Mariam Saleh akitoa mchango wake Kujadili Mafanikio na Changamoto za Miaka 40 ya kuzaliwa kwa CCM Tawi la CCM Kisauni Zanzibar.
PICHA NA MIZA OTHMAN/MAELEZO ZANZIBAR.
Kaimu Mwenyekiti wa CCM Jimbo la Chukwani Salma Miraji Salmin akizungumza katika Semina ya kujadiliMafanikio na Changamoto za miaka 40 ya kuzaliwa kwa CCM kwa Matawi yote ya Mkoa wa Magharibi 2017 Zanzibar.
Baadhi ya Wanachama wa CCM waliohudhuria katika Semina ya Kujadili Mafanikio na Changamoto za Miaka 40 ya kuzaliwa kwa CCM Tawi la CCM Kisauni Zanzibar.(Picha na Miza Othman - Maelezo Zanzibar)
No comments:
Post a Comment