Ndg.Paul Ibrahim Mwilombwa ni Kijana
anayeishi Mkoa wa Geita Wilaya ya Chato, ni mlemavu wa viungo na mwenye
kujishughulisha na maswala ya upigaji picha na mambo ya 'Graphic Design'. hapa anaelezea historia yake na kuwaomba
msaada watanzania ili apate kufanya kazi zake kwa ufanisi zaidi.
TIRA na DSE wasaini Makubaliano ya Kimkakati Kuimarisha Sekta ya Bima na
Masoko ya Mitaji
-
Na Karama Kenyunko, Michuzi Tv
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) na Soko la Hisa la Dar es
Salaam (DSE) wamesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment