Habari za Punde

Kijana Paul Mwilombwa Mlemavu wa Viungo Anaomba Msaada Wako Ili Aweze Kutimiza Malengo Yake Kupitia Shughuli Anayoifanya.

Ndg.Paul Ibrahim Mwilombwa ni Kijana anayeishi Mkoa wa Geita Wilaya ya Chato, ni mlemavu wa viungo na mwenye kujishughulisha na maswala ya upigaji picha na mambo ya 'Graphic Design'.  hapa anaelezea historia yake na kuwaomba msaada watanzania ili apate kufanya kazi zake kwa ufanisi zaidi.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.