Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Juma Abdalla Juma (Mabodi) alipowasili katika viwanja vya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar alipohudhuria katika Kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar,[Picha na Ikulu.] 24/03/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi alipowasili katika viwanja vya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar alipohudhuria katika Kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar,[Picha na Ikulu.] 24/03/2017.
Baadhi ya wajumbe wa kikao cha kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakipitia mada mbali mbali za Kikao kabla ya kufanyika katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar leo,[Picha na Ikulu.] 24/03/2017.
Wajumbe wa kikao cha Siku moja cha Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakiwa katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar leo kabla ya kuanza kwa kikao hicho mwenyekiti wake akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) [Picha na Ikulu.] 24/03/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein(kushoto) na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Juma Abdalla Juma (katikati) pamoja na Viongozi wengine wakiwa katika
Ukumbi wa Ofisi ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar katika Kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar,[Picha na
Ikulu.]24/03/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)
akiteta na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Juma Abdalla Juma
katika Kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo katika Ukumbu wa Ofisi ya CCM Kisiwandui mjin i Zanzibar
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Juma Abdalla Juma
(Mabodi) alipokuwa akitoa taarifa ya kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar
kilichofanyika leo
katika
Ukumbi wa Ofisi ya
CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar,kwa mwenyekiti wa kikao hicho Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein
[Picha na Ikulu.]24/03/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto)
akiendesha kikao cha siku moja cha
Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar
kilicho fanyika leo
kat
ika
Ukumbi wa Ofisi ya
CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar
,(kulia)
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Juma Abdalla Juma
[Picha na
Ikulu.]24/03/2017.
No comments:
Post a Comment