Habari za Punde

Pemba Yaadhimisha Maadhimishi ya Miaka 40 ya Jeshi la Kujenga Uchumi JKU Kwa Kufanya Usafi Sehemu Mbalimbali.


Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Pemba,Mhe. Hemed Suleiman Abdalla, akishiriki katika usafi wa mazingira ikiwa ni shamra shamra za kusherehekea miaka 40 ya Jeshi la Kujenga Uchumi JKU. kwa kufanya shughuli mbalimbali za kimaendeleo. 
Picha na Habiba Zarali -Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.