Kabla ya uteuzi huo, Bwana Omar Zubeir Ismail alikuwa Ofisa Mwandamizi katika Idara ya Nishati, Zanzibar.
Uteuzi huo uliosainiwa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee, umeanza leo tarehe 18 Machi 2017.
IMETOLEWA NA IDARA YA HABARI MAELEZO-ZANZIBAR
No comments:
Post a Comment