Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akivuta kitambaa pamoja na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendego
kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi katika Ujenzi wa Gati namba mbili litakayojengwa katika
Bandari ya Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akivuta kitambaa pamoja na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendego
kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi katika Ujenzi wa Gati namba mbili litakayojengwa katika
Bandari ya Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akihutubia kabla ya kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa
Gati namba 2 katika Bandari ya Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akihutubia kabla ya kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa
Gati namba 2 katika Bandari ya Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akitoa maelekezo kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Usimamizi wa Bandari Tanzania Mhandisi
Deusdedit Kakoko kuhusu eneo ambalo Bandari ya Mtwara walikuwa wakilihitaji
kutoka sehemu nyingine.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania Mhandisi Deusdedit Kakoko akitoa maelezo kwa
Rais Dkt. John Magufuli kuhusu eneo ambalo Bandari ya Mtwara walikuwa
wakilihitaji kutoka sehemu nyingine.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiweka saini katika kitabu cha wageni kabla ya kuweka jiwe
la msingi katika ujenzi wa Gati namba 2 litakalojengwa katika bandari ya
Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Newala George Huruma Mkuchika
mara baada ya kuwasili katika eneo la Bandari ya Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NMB Ineke Bussemaker wakikata utepe kuashiaria
ufunguzi rasmi wa Kituo cha Biashara cha Benki hiyo mkoani Mtwara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NMB Ineke Bussemaker, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima
Dendego wakipiga makofi mara baada ya kufungua kituo hicho cha Kibiashara cha
NMB mkoani Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akimpongeza Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NMB Ineke
Bussemaker mara baada ya kukifungua kituo hicho cha kibiashara mkoani Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mbunge wa Mtwara mjini kupitia Chama
cha Wananchi (CUF) Maftah Nachuma mara baada ya kufungua kituo hicho cha
kibiashara cha Benki ya NMB mkoani Mtwara.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitoa maelekezo
kwa Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuhusu ujenzi wa Kituo cha Afya cha Mnolela
ambapo pia amechangia kiasi cha Shilingi milioni 15 na akamuagiza Mbunge huyo
kuchangia Shilingi milioni 10 kutoka fedha za jimbo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia katika
kijiji cha Madangwa katika jimbo la Mtama mkoani Lindi.
Mjumbe
wa Halmashauri kuu ya CCM na Mbunge mteule wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mama Salma Kikwete akifatilia hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati aliposimamishwa njiani na Wanakijiji
wa Madangwa katika jimbo la Mtama mkoani Lindi. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment