Habari za Punde

ZIARA YA WAZIRI MKUU NCHINI BERALUS



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia utengenezaji wa dawa za binadamu alipotembelea kwanda cha Belmedpreparaty kilichopo Minsk nchini Belarusi Julai 22, 2025
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia utengenezaji wa dawa za binadamu alipotembelea kwanda cha Belmedpreparaty kilichopo Minsk nchini Belarusi Julai 22, 2025
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama matrekta na zana mbalimbali za kilimo alipotembelea kiwanda cha Minsk Tractor Plant  kinachotengeneza  mitambo na zana za  kilimo  akiwa katika ziara  ya kikazi nchini Belarus Julai 22, 2025. Kulia  ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika  Mashariki, Cosato Chumi. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.