Habari za Punde

Kongamano la Siku Mbili Kuzungumzia Changamoto za Sekta ya Afya Tanzania.(Medical Operation)

Mkurugenzi wa Global Health kutokea Taasis ya GE, Asha Varghese akizungumzia ushiriki wa Taasis hiyo katika kongamano hilo
Mganga Mkuu wa Serikali Professa Muhammed Bakari akizungumza kwenye uzinduzi wa kongamano la siku mbili la wadau wa Afya kujadili hali ya upasuaji nchini (medical operation)
Wadau mbalimbali wa sekta ya Afya wanaoshiriki kongamano hilo wakifuatilia kwa umakini mjadala uliokuwa unaendelea.
Mganga Mkuu wa Serikali Professa Muhammed Bakari akijadiliana jambo na washiriki wa mkutano huo.
Mganga Mkuu wa Serikali Professa Muhammed Bakari akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na changamoto zitokanazo na uhaba wa wataalamu wa upasuaji nchini na mengineo kuhusiana na kongamano hilo.
Washiriki wa kongamano hilo wakiwa kwenye picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.