Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo alipowasili katika viwanja vya Wizara ya Habari Kikwajuni kuhudhuria Semina ya Waandishi wa Habari na Watendaji wa Serikali iliofanyika katika Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akifungua Mkutano wa Semina Juu ya Umuhimu wa Vyombo vya Habari vya Serikali
kwa maendeleo ya Taifa uliowakutanisha Waandishi wa Habari na Watendaji wa
Serikali katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani kikwajuni Zanzibar
Baadhi ya Mawaziri na Watendaji wa SMZ wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akifungua semina hiyo katika ukumbi
wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni Zanzibar
Baadhi ya Mawaziri na Watendaji wa SMZ wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akifungua semina hiyo katika ukumbi
wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni Zanzibar
Baadhi ya Waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar Dk Shein, akifungua semina hiyo ya siku moja kwa
waandishi wa habari na watendaji wa Serikali katika ukumbi wa baraza la
wawakilishi la zamani kikwajuni Zanzibar
Baadhi ya Waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar Dk Shein, akifungua semina hiyo ya siku moja kwa
waandishi wa habari na watendaji wa Serikali katika ukumbi wa baraza la
wawakilishi la zamani kikwajuni Zanzibar
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Ndg Hassan Abdalla
Mitawi akitowa Mada kuhusiana na Umuhimu wa Vyombo vya Habari kwa Maendeleo ya
Taifa, wakati wa semina hiyo iliowajumuisha waandishi wa habari wa vyombo vya
SMZ na Watendaji wa Serikali iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa baraza la
wawakilishi kikwajuni Zanzibar
Mwandishi wa habari muandamizi wa Gazeti la Zanzibar leo Mwantanga Ame akichangia mada hiyo wakati wa semina hiyo baada ya kuwasilishwa mada na muhusika umuhimu wa vyomvo vya habari Zanzibar
Mwandishi wa habari wac Shirika la Utangazaji la Zanzibar ZBC Suzan Kunambi akichangia mada hiyo wakati wa semina hiyo baada ya kuwasilishwa mada na muhusika umuhimu wa vyomvo vya habari Zanzibar
Mwandishi wa habari wa Idara ya Habari Maelezo Faki Mjaka akichangia mada hiyo wakati wa semina hiyo baada ya kuwasilishwa mada na muhusika umuhimu wa vyomvo vya habari Zanzibar
Mhariri Mtendaji wa Shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibar Leo Ndg Yussuf Khamis akisisitiza jambo wakati akichangia Mada hiyo baada ya kuwasilishwa na kueleza matumizi ya propaganda
kwa vyombo vya habari
No comments:
Post a Comment