MKUU wa Shirika la Magazeti ya Serikali afisi ya Pemba, Bakar Mussa Juma, akiomba kupata ufafanuzi kutoka kwa asasi za kiraia inayojishughulisha na kutoa mikopo kwa wajasiriamali na watu wengine kupitia benki ya Ummi, waliofika ofisi za Gazeti hilo kuzungumza na waandishi mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WEMBE, ASKARI MGAMBO MIKONONI MWA POLISI, SAKATA LA DKT. KAWAMBWA
-
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani
JESHI la Polisi Mkoani Pwani, limewakamata Diwani wa kata ya Kiromo Mstaafu
Hassan Wembe na Askari Mgambo Abdallah Mgeni na baadae...
23 minutes ago
No comments:
Post a Comment