Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Akijibu Maswali ya Papo Kwa Popo Bungeni leo.

Mchungaji Dkt. Getrude Rwaktare akisindikizwa na baadhi ya wabunge kuingia kwenye ukumbi wa bunge mjini Dodoma ili kuapishwa kuwa mbunge wa   Viti Maalum,  Aprili 20, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Spika wa Bunge, Job Ndugai akiongoza kikao  cha bunge mjini Dodoma 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisikiliza swali wakati alipoulizwa na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe,  (kulia) bungeni mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisikiliza swali wakati alipoulizwa na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe,  (kulia) bungeni mjini Dodoma
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali bungeni mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Aprili 20, 2017. Wengine kutoka kushoto ni  Wabunge wa Viti Maalum, Cecilia Pareso, Catherene  Magige na Joyce Mukya. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.