Injinia wa Wizara
Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Pemba, Mohamed Mzee mwenye jaketi lenye
kofia, akitoa maelezo kwa Viongozi mbali mbali wa Serikali juu ya hatua
walizozichukuwa kuhakikisha wananchi wanapita katika barabara ya Pujini, baada
ya kufanyia matengenezo na kuendelea kutowa huduma hiyo kwa wananchi wa kijiji hicho baada ya kuwekwa kifusi, barabara hiyo ilikatika na kutenganisha njia kufuatia mvua
zinazoendelea kunyesha
Barabara ya Pujini
Chake Chake katika Sehemu ya Daraja iliyoharibika na kuchukuliwa na Maji ya
Mvua zinazoendelea kunyesha, ikiwa imeshafainyiwa Ukarabati na Wizara ya Ujenzi
Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, kama inavyoonekana baada ya kufanyiwa matengenezo hayo.
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, Mhe:Shomar Omar Shomar,
akizungumza na Viongozi wa Serikali ya Mkoa wa Kusini Pemba, baada ya kukagua
hali ya urudishaji wa barabara ya Pujini iliyoharibika kutokana na mvua
zinazoendelea kunyesha Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba)
No comments:
Post a Comment