Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu
Tixon Tuyangine Nzunda kuwa Naibu Katibu
Mkuu, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi
Rajab Omar Luhwavi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu Benard Mtandi
Makali kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu Clifford
Katondo Tandari kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Morogoro, Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu Geoffrey
Idelphonce Mwambe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Uwekezaji Tanzania
(TIC), Ikulu jijini Dar es Salaam.
Viongozi
waliopishwa wakila Kiapo cha Uadilifu –Ikulu jijini Dar es Salaam. wakwanza
kutoka kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Tixon Tuyangine
Nzunda, Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Rajab Omar Luhwavi, Katibu Tawala wa
Mkoa wa Rukwa Benard Mtandi Makali,
Katibu Tawala wa mkoa wa Morogoro Clifford Katondo Tandari pamoja na
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Geoffrey Idelphonce
Mwambe
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Balozi
wa Tanzania nchini Msumbiji Rajab Omar Luhwavi mara baada ya kupiga picha ya
pamoja Ikulu jijini Dar es Salaam.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment