Wafanyabiashara katika bustani ya Forodhani Unguja Wilaya ya Mjini wakiwa katika matayarisho ya kuaza kwa biashara hiyo ya vyakula kwa Wananchi na Wageni wanaofika katika bustani hiyo kwa ajili ya mapumziko ya jioni hujipatia maakuli hiyo.
UDOM Yabuni Mashine ya Kisasa ya Kuuza Vinywaji Baridi Inayojiendesha
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Ndaki ya Sayansi za Kompyuta na Elimu
Angavu, kimebuni mashine ya kisasa ya kuuza ...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment