Habari za Punde

Waumini wa Dini ya Kiislamu Zanzibar Washerehekea Sikukuu ya Eid el Fitri Katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.

MFANYABIASHARA ya vitu vya kuchezea katika viwanja vya mnazi mmoja Ishaka Ameir akiwa na moja ya bastola ya kurusha mapovu akionesha katika viwanja vya mnazi mmoja ikiuzwa kawa shilingi 2000/
KIJANA muuza mipra ya kuchezea Said Salum akiwa katika viwanja vya sikukuu mnazi mmoja aakichezea mmoja wa mipira hiyo wakati akisubira wateja, mpira mmoja huuza shilingi 1000/

WATOTO wakiwa katika moja ya pembea katika viwanja vya sikukuu vya mnazi mmoja wakibembea kuadhimisha sikukuu ya Eid Fitri inayoadhimishwa na Waumini wa Dini ya Kiislamu duniani kote baada ya mfungo wa mwezi wa Ramadhani


Wananchi  waliofika katika viwanja vya Sikukuu  mnazi mmoja wakati katika viwanja hivyo wakifurahia  sikukuu ya Eid Fitri inayoazamisha baada ya mfungo wa Mwezi Mtufuku wa Ramadhimi na kuadhimishwa na waumini wa Dini ya Kiislamu wakati katika viwanja hivyo kama walivyokuta na mpiga picha wetu

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.