Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akipokea msaada wa vitanda vya wagonjwa wa kipindupindu kwa Afisa Mkaguzi Mkuu wa Shirika la kuhudumia watoto Duniani (unicef) Bi. Francesca Morandini katika kambi ya kipindupindu Chumbuni.
Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Mahmoud Thabit Kombo akiwa na alipotembele kambi ya kipindupindu Chumbuni, akiwa na Afisa Mkaguzi Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani (unicef) Bi. Francesca Morandini wakitembelea kituo hicho.
No comments:
Post a Comment