AFISA
Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Khalfan
Amour Mohamed, akielezea kazi na muelekeo wa Kituo hicho, kabla ya kuanza
mafunzo ya taratibu za utayarishaji wa katiba na sheria kwa vijana wa mkoa wa
kaskazini Pemba,mafunzo hayo yaliofanyika katika kituo cha ‘ZLSC’ mjini Chakechake Pemba
WAJUMBE wa
mabaraza la vijana kutoka Mkoa wa kaskazini Pemba, wakifuatulia mada ya sera ya
maendeleo ya vijana ya Zanzibar ya mwaka 2005, kwenye mafunzo yalioandaliwa na
kufanyika Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC, tawi la Pemba
MTOA mada
kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ‘ZLSC’ tawi la Pemba, Safia Saleh
Sultan akitoa mada juu ya sera ya maendeleo ya vijana Zanzibar ya mwaka 2005,
kwa wajumbe wa mabaraza ya vijana wa mkoa wa kaskazini Pemba, mafunzo hayo, yaliofanyika
Kituoni kwao mjini Chakechake
WAJUMBE wa
mabaraza la vijana kutoka Mkoa wa kaskazini Pemba, wakifuatulia mada ya sera ya
maendeleo ya vijana ya Zanzibar ya mwaka 2005, kwenye mafunzo yalioandaliwa na
kufanyika Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC, tawi la Pemba
MJUMBE wa
baraza la vijana kutoka shehia ya Chasasa wilaya ya Wete Pemba, Awena Ali Mussa
akiomba ufafanuzi wa jambo, kwenye makutano wa utayarishaji wa katiba na
sheria, yalioandaliwa na kufanyika Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC
tawi la Pemba
MWENYEKITI wa Baraza la Vijana shehia ya Tumbe Magharibi
wilaya ya Micheweni Rashid Khatib Hamad, akiuliza suali, kwenye mafunzo ya
utayarishaji wa katiba na sheria kwa wajumbe wa mabaraza hayo, ya mkoa wa
kaskazini Pemba, yalioandaliwa na kufanyika Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar
‘ZLSC’ tawi la Pemba.
KATIBU wa Kamati ya fedha na uchumi wa
baraza la vijana wilaya ya Wete Pemba, Hadia Mohamed, akitoa mchango wake,
kwenye mafunzo ya utayarishaji wa katiba na sheria, yalioandaliwa na Kituo cha
Huduma za Sheria Zanzibar ‘ZLSC’ tawi la Pemba, na kufanyika mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment