Kikosi Kazi cha Kampuni ya AZAM TV kikiwa katika matayarisho ya mwisho kufunga vifaa vya kwa ajili ya kuripoti Tamasha hilo live na matangazo mengine yanayofanyika wakati wa Tamasha hilo Kubwa na laaina yake kufanyika kisiwani Pemba kwa kushirikisha michezo mbalimbali Ikiwemo Resi za Ngalawa, Baskeli, Mchezo wa Ngombe na mengineyo Lililotayarishwa na Kampuni ya Rafiki Network.
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI BELARUS
-
- Kukutana na Waziri Mkuu Alexander Turchin
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Julai 21, 2025 amewasili nchini Belarus kuanza
ziara ya kikazi nchini humo. Kwenye...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment