Kikosi Kazi cha Kampuni ya AZAM TV kikiwa katika matayarisho ya mwisho kufunga vifaa vya kwa ajili ya kuripoti Tamasha hilo live na matangazo mengine yanayofanyika wakati wa Tamasha hilo Kubwa na laaina yake kufanyika kisiwani Pemba kwa kushirikisha michezo mbalimbali Ikiwemo Resi za Ngalawa, Baskeli, Mchezo wa Ngombe na mengineyo Lililotayarishwa na Kampuni ya Rafiki Network.
MISAADA MBALIMBALI YAWAFIKIA WANAWAKE WALIOJIFUNGUA NA WATOTO KATIKA KAMBI
ZA WAHANGA WA MAFURIKO RUFIJI
-
Na Mwamvua Mwinyi,Rufiji April 23
Patrick Golwike (Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii wa Wizara ya Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Mahitaji Ma...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment