Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia
ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani,Mhandisi Hamad Masauni,
akizungumza na Waandishi wa Habari(hawapo pichani) kuhusu Tamasha la Usalama
Barabarani linalotarajiwa kufanyika mapema mwezi wa nane,mwaka huu katika
Uwanja wa Taifa,jijini Dar es Salaam,ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. John Magufuli.Kulia ni Mkuu wa Kikosi
cha Usalama Barabarani nchini,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la
Polisi,Fortunatus Musilimu
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la
Polisi,Fortunatus Musilimu, akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani)
kuhusu Tamasha la Usalama Barabarani linalotarajiwa kufanyika mapema mwezi wa
nane,mwaka huu katika Uwanja wa Taifa,jijini Dar es Salaam,ambapo Mgeni Rasmi
anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. John Magufuli.Kushoto ni Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Mwenyekiti
wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani,Mhandisi Hamad Masauni
Waandishi wa Habari wakimisikiliza Naibu Waziri wa Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la
Usalama Barabarani,Mhandisi Hamad Masauni wakati wa Mkutano uliohusu Tamasha la
Usalama Barabarani linalotarajiwa kufanyika mapema mwezi wa nane,mwaka huu
katika Uwanja wa Taifa,Jijini Dar es
Salaam, ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania,Dk. John Magufuli.Kushoto ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani
nchini,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi,Fortunatus Musilimu.Picha
na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
No comments:
Post a Comment