Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja Mhe Marina Joe Thomas washiriki matembezi ya Baraza la Vijana Wilaya ya Mjini Unguja kuadhimisha Mwaka Mmoja tangu kuazishwa baraza hilo la Vijana katika Wilaya ya Mjini Matembezi hayo yameazia katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Amaan na kumalizikia katika viwanja vya Mnara wa Mapinduzi Squar Michezani.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment