Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
wananchi wa Bunju wakati akirejea jijini Dar es Salaam mara baada ya kumaliza
ziara yake ya siku tano katika mkoani Tanga.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisisitija jambo wakati akizungumza na
wananchi wa Bunju, akirejea jijini Dar es Salaam mara baada ya kumaliza
ziara yake ya siku tano katika mkoani Tanga.
Wananchi wa wananchi wa Bunju wakimsikiliza Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakati akizungumza nao alipokuwa akirejea jijini Dar es Salaam akitokea Mkoani Tanga mara baada ya kumaliza
ziara yake ya siku tano katika mkoani Tanga. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment