Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Salum Maulid akifungua mafunzo ya Mapishi na Ukarimu yaliotolewa na Taasisi ya China National Research Instituteof Food and Fermentation Industries (CNRIFFI) hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi Kikwajuni Zanzibar na kukabidhi Vyeti kwa Washiriki wa mafunzo hayo ya wiki mbili yaliowashirikisha Wahuduma wa SMZ na Walimu wa Chuo cha Utalii Maruhubi Zanzibar.
MKOA WA PWANI WAJIPANGA KUSHINDA MASHINDANO YA UMISSETA NA UMITASHUMTA 2025
-
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Mei 22, 2025
Mkoa wa Pwani umejipanga kushinda katika mashindano ya kitaifa ya UMISSETA
na UMITASHUMTA, yanayotarajiwa kufanyik...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment