Kijana akiwa katika kazi yake ya uchoraji katika mitaa ya mji mkongwe Zanzibar eneo la hurumzi,katika mitaa hiyo inayotembelewa na wageni wengi kujionea maajabu na historia ya Zanzibar katika majengo yake na maarufu kwa biashara za kitalii.
Muziki : Diamond ,Nandy Wajutia Walichoweka Mtandaoni
-
*Waahidi kutofanya makosa tena, waomba vijana kuitumia mitandao vizuri
Na Ripota Wetu,Globu ya jamii
WASANII wa muziki wa kizazi kipya a.k.a Bongo F...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment