Kijana akiwa katika kazi yake ya uchoraji katika mitaa ya mji mkongwe Zanzibar eneo la hurumzi,katika mitaa hiyo inayotembelewa na wageni wengi kujionea maajabu na historia ya Zanzibar katika majengo yake na maarufu kwa biashara za kitalii.
Elimu : Awamu ya Sita Yaipiga Jeki Elimu, Walimu Wapongezwa Arusha
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya
maboresho makubwa katika sekta ya elimu mkoani Aru...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment