Kijana akiwa katika kazi yake ya uchoraji katika mitaa ya mji mkongwe Zanzibar eneo la hurumzi,katika mitaa hiyo inayotembelewa na wageni wengi kujionea maajabu na historia ya Zanzibar katika majengo yake na maarufu kwa biashara za kitalii.
Rais Samia apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
(CAG) na Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (TAKUKURU) leo
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment