Habari za Punde

JUWAZA Pemba watembelea baraza la wazee shehia ya Wingwi Mapofu

MSAIDIZI Mratibu Jumuia ya wazee Zanzibar JUWAZA kisiwani Pemba, Mohamed Najim Omar, akizungumza na wajumbe wa baraza la wazee wa shehia ya Wingwi mapofu wilaya ya Micheweni, wakati wa ziara ya kuangalia changamoto na mafanikio ya mabaraza ya wazee, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MWENYEKITI wa baraza la wazee shehia ya Wingwi mapofu wilaya ya Micheweni Pemba, Salim Said Ali, akizungumza na waandishi wa habari juu mafanikio na changamoto zao, wakati waandishi hao walipofika hapo kwa ajili ya kuzungumza nao, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MWENYEKITI wa baraza la wazee shehia ya Wingwi mapofu wilaya ya Micheweni Pemba, Salim Said Ali, akizungumza na waandishi wa habari juu mafanikio na changamoto zao, wakati waandishi hao walipofika hapo kwa ajili ya kuzungumza nao, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 KATIBU wa baraza la wazee la shehia ya Wingwi mapofu wilaya ya Micheweni Pemba, Fatma Rashid Nassor, akielezea lengo la kuanzishwa kwa baraza hilo kwa waandishi wa habari, waliofika shehiani humo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MWANACHAMA wa baraza la wazee shehia ya Wingwi mapaofu wilaya ya Micheweni kisiwani Pemba, Hamad Faki Mwinyi, akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari, waliofika kijijini hapo kuzungumza na wajumbe wa baraza hilo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.