Mshambuliaji wa Timu ya Jangombe Boys akijaribu kumpita beki wa Timu ya Black Sailors wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu ya Black Sailors imeshinda bao 1-0.
Ujenzi wa Barabara ya Songea–Lutukira Kuinua Uchumi na Usalama wa Usafiri
Ruvuma
-
Belinda Joseph- Ruvuma.
Ujenzi wa Barabara ya Songea–Lutukira yenye urefu wa Km 95.1 pamoja na
Bypass ya Songea yenye Km 16, unatarajiwa kuleta manuf...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment