Wananchi wa mitaa ya Mji wa Chakechake kisiwani wa Pemba wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji yao katika marikiti kuu ya chakechake na baadhi ya wafanyabiashara ya samaki hufanya biashara hiyo katika eneo la kuingia na kutokea gari za abiria katika marikiti hiyo na kuwa kero kwa madereva wakati wa kutoka baada ya kupakia abiri kuaza safari zao.
WANANCHI WAASWA KUTUMIA NAMBA YA MALIPO WANAPOLIPIA HUDUMA ZA SERIK
-
Afisa Mwandamizi kutoka Idara ya Usimamizi wa Mifumo ya Fedha na TEHAMA wa
Wizara ya Fedha, Bw. Charles Maganga (kulia), akitoa maelezo kuhusu umuhimu
wa...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment