Wananchi wa mitaa ya Mji wa Chakechake kisiwani wa Pemba wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji yao katika marikiti kuu ya chakechake na baadhi ya wafanyabiashara ya samaki hufanya biashara hiyo katika eneo la kuingia na kutokea gari za abiria katika marikiti hiyo na kuwa kero kwa madereva wakati wa kutoka baada ya kupakia abiri kuaza safari zao.
HASHIM THABITI KUIBEBA TIMU YA DAR CITY MASHINDANO YA KIMATAIFA DAR
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma,
amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kuisapoti t...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment