WADAU mbali mbali wa sekta ya afya Kisiwani Pemba,
wakiongozwa na maafisa afya mikoa, Wilaya, baraza la mji na Halmashauri, wakiwa
katika kikao cha pamoja cha kupanga mkakati wa kukabiliana na Kipindupindu
Pemba.(PICHA NO:ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MKURUGENZI wa Baraza la Mji Mkoani Rashid Abdalla
Rashid, akitoa ufafanuzi juu ya mikakati ya kupambana na maradhi ya kuharisha
na kipindupindu kwa Wilaya ya Mkoani.(PICHA
NO:ABDI SULEIMAN, PEMBA)
DAKTARI dhamana wa Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani,
Dr Haji Mwita akichangia katika kikao cha kupanga mkakati wa kukabiliana na
maradhi ya Mripuko na Kipindupindu Pemba pindi yatakapo tokea.(PICHA NO:ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment