Habari za Punde

Kikundi cha Bora Uhai, Mkumbuu , Chakechake wakabidhiwa vifaa

 WATENDAJI wa baraza la mji Chake Chake, wakikagua mabwaya ya ufugaji wa samaki katika kikundi cha Bora uhai huko Sangafu Mkumbuu Wilaya ya Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MKURUGENZI wa Baraza la Mji Chake Chake kulia, Nassor Suleiman Zahran akinyanyua mashine ya kuvutia maji na vifaa mbali mbali, vyenye thamani ya Laki 9.5, kuashiria kumkabiidhi Mwenyekiti wa Kikundi cha Bora Uhai Adam Mohamed Abeid.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.