Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa
na Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar Mhe. Balozi Amina Salum Ali
wakielekea katika ukumbi wa mkutano kwa ajili ya Ufunguzi wa Warsha ya kutoa
Uelewa Juu ya Mamlaka itakayosimamia Viwanda Vidogo vidogo na Vya Kati Zanzibar
(SMIDA) iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni
Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwasili katika Mkuu wa
Wilaya ya Mjini Marine.Thomas alipowasili katika viwanja vya zamani vya Baraza
la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif, wakiangalia burudani ya ngoma ya
Kikundi cha Sanaa cha Mafunzo Zanzibar wakati wa hafla hiyo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
akihutubia na kulifungua Kongamano la Warsha ya Uelewa Juu ya Mamlaka
Itakayosimamia Viwanda Vidogo vidogona Vya Kati (SMIDA) hafla hiyo imewashirikisha
Wajasiriamali mbalimbali wa Zanzibar iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa
baraza la Wawakilishi kikwajuni Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
akihutubia na kulifungua Kongamano la Warsha ya Uelewa Juu ya Mamlaka
Itakayosimamia Viwanda Vidogo vidogona Vya Kati (SMIDA) hafla hiyo imewashirikisha
Wajasiriamali mbalimbali wa Zanzibar iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa
baraza la Wawakilishi kikwajuni Zanzibar
WAZIRI
wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar Mhe. Balozi Amina Salum Ali, akitowa
maelezo ya hafla hiyo kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, kulifungua Kongamano hilo
KATIBU
Mkuu Wizara ya Viwanda na Masoko Zanzibar Juma Ali Juma akizungumza kitaalamu
juu ya Uelewa Juu ya Mamlaka ya Itakayosimamia Viwanda Vidogo vidogo Zanzibar
iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa baraza kikwajuni Zanzibar
Mkurugenzi
Mkuu wa SIDO Tanzania Profesa Sylvester M Mpanduji, akitowa maelezo juu ya
umuhimu wa uaznzishaji wa Viwanda Vidogo vidogo kwa wajasiriamali wakatikwa
warsha hiyo ilioandaliwa na Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar
iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni
BAADHI
ya wageni waalikwa wakifuatilia hafla hiyo wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akifungua Kongamano la
Warsha la Kutoa Uelewa Juu ya Mamlaka Itakayosimamia Viwanda Vidogo vidogo na
vya Kati (SMIDA) lililoandaliwa na Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko
Zanzibar
Mabalozi Wadogo wa Nchi zao wanaofanyia Kazi zao Zanzibar wakiwa katika Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi wakihudhuria hafla hiyo.
BAADHI
ya wageni waalikwa wakifuatilia hafla hiyo wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akifungua Kongamano la
Warsha la Kutoa Uelewa Juu ya Mamlaka Itakayosimamia Viwanda Vidogo vidogo na
vya Kati (SMIDA) lililoandaliwa na Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko
Zanzibar
BAADHI
ya Wajasiliamali wa Zanzibar wakifuatilia hafla hiyo wakati wa Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akifufunga Warsha
hiyo ililofanyika katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni
Zanzibar
BAADHI
ya Wajasiliamali wa Zanzibar wakifuatilia hafla hiyo wakati wa Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akifufunga Warsha
hiyo ililofanyika katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni
Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Spika wa Baraza la
Wawakilishi Mhe. Zuberi Ali Maulid na Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Mhe.
Balozi Amina Salum Ali Katibu Mkuu Kiongozi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee na Mkuu
wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe Ayoub Mohammed Mahmoud wakiwa katika
picha ya pamoja na Watoa Mada wa Warsha Hiyo baada ya kufunguliwa.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif
Ali Iddi,Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Zuberi Ali Maulid, Katibu Mkuu
Kiongozi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee, na kulia Waziri wa Biashara Viwanda na
Masoko Mhe. Balozi Amina Salum Ali, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.
Abdallah Juma Mabodi na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub
Mohammed Mahmoud wakiwa katika picha ya pamoja na Wajasiriamali wenye viwanda
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif
Ali Iddi,Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Zuberi Ali Maulid, Katibu Mkuu
Kiongozi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee, na kulia Waziri wa Biashara Viwanda na
Masoko Mhe. Balozi Amina Salum Ali, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.
Abdallah Juma Mabodi na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub
Mohammed Mahmoud wakiwa katika picha ya pamoja na Wajasiriamali.
No comments:
Post a Comment